Vibaya Lyrics

Matatizo, yasikie kwa jirani
Yakikufika utanielewa
Kulala njaa, we sikia kwa jirani
Ukilala njaa, utanielewa
Kukataliwa, we sikia kwa jirani
Ukakataliwa, utanielewa
Usaliti usaliti, we sikia kwa jirani
Ukakataliwa, utanielewa
Na apo ulipo
Ndugu yangu si kwa nguvu zako
Hivyo chunga kinywa chako
Usiwabeze walio chini yako
Na apo ulipo
Ndugu yangu si kwa nguvu zako
Hivyo chunga kinywa chako
Usiwabeze walio chini yako
Hivyo tusisemane (vibaya)
Tusiombeane (mabaya)
Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)
Ooooh tusisemane (vibaya)
Tusiombeane (mabaya)
Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)
Aujuii aujuii
Kesho nitakuwa wapo
Nami sijui sijui
Kesho utakuwa wap
Waweza niona mkosi
Kesho nikawa baraka, hivyo
Weka akiba ya maneno yako
Utanishukuru baadaye
Kwe leo ninaweza nikose
Ndipo kesho nitapata, hivyo
Weka akiba ya maneno yako
Utanishukuru baadaye
Apo ulipo
Ndugu yangu si kwa nguvu zako
Hivyo chunga kinywa chako
Usiwabeze walio chini yako
Apo ulipo
Ndugu yangu si kwa nguvu zako
Hivyo chunga kinywa chako
Usiwabeze walio chini yako
Hivyo tusisemane (vibaya)
Tusiombeane (mabaya)
Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)
Ooooh tusisemane (vibaya)
Tusiombeane (mabaya)
Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2024
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
OBBY ALPHA
Tanzania
Obby Alpha is a Gospel singer , preaching Christ and those are through music. ...
YOU MAY ALSO LIKE