Home Search Countries Albums
Read en Translation

Vibaya Lyrics


Matatizo, yasikie kwa jirani

Yakikufika utanielewa

Kulala njaa, we sikia kwa jirani

Ukilala njaa, utanielewa

Kukataliwa, we sikia kwa jirani

Ukakataliwa, utanielewa

Usaliti usaliti, we sikia kwa jirani

Ukakataliwa, utanielewa

Na apo ulipo

Ndugu yangu si kwa nguvu zako

Hivyo chunga kinywa chako

Usiwabeze walio chini yako

Na apo ulipo

Ndugu yangu si kwa nguvu zako

Hivyo chunga kinywa chako

Usiwabeze walio chini yako

Hivyo tusisemane (vibaya)

Tusiombeane (mabaya)

Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)

Ooooh tusisemane (vibaya)

Tusiombeane (mabaya)

Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)

Aujuii aujuii

Kesho nitakuwa wapo

Nami sijui sijui

Kesho utakuwa wap

Waweza niona mkosi

Kesho nikawa baraka, hivyo

Weka akiba ya maneno yako

Utanishukuru baadaye

Kwe leo ninaweza nikose

Ndipo kesho nitapata, hivyo

Weka akiba ya maneno yako

Utanishukuru baadaye

Apo ulipo

Ndugu yangu si kwa nguvu zako

Hivyo chunga kinywa chako

Usiwabeze walio chini yako

Apo ulipo

Ndugu yangu si kwa nguvu zako

Hivyo chunga kinywa chako

Usiwabeze walio chini yako

Hivyo tusisemane (vibaya)

Tusiombeane (mabaya)

Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)

Ooooh tusisemane (vibaya)

Tusiombeane (mabaya)

Tusisemane (vibaya vibaya vibaya)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

OBBY ALPHA

Tanzania

Obby Alpha is a Gospel singer , preaching Christ and those are through music. ...

YOU MAY ALSO LIKE