Home Search Countries Albums
Read en Translation

Nitasema ft Raydiance Lyrics


Na jua moyoni mna ongea

Japo amtoi sauti

Niaba kwa yenu

Mimi ni sipika, mimi ni kipaza sauti

Kuna mficha maradhi

Na kuna mficha uchi

Ila mficha maradhi

Ana umbuliwa na umauti

Mbona kama niko rwanda

Kama niko congo

Mwanangu ana nikumbusha dady

Mbona hii ni bongo

Kwa sasa kutoka nyumbani salama ni uhakika

Ila kurudi nyumbani

Ilo halina uhakika

Watu wana tekwa

Watoto wana potea

Watu pigwa wana risasi

Hakuna anae wa shitakia

Tunaemtegemea kukemea wana sema hizi ni drama

Hivi angetekwa mwanao

Unge thubutu kusema drama

Sokoni majengo ni dodoma

Makao makuu ni ununio

Alipo tekwa roma kumbukumbu ni ununio

Akauliwa ali kibao aka tupwa ununio

Atakae fwata naomba mbadilishe eneo

Wana kukuteka wanakuja kama polisi

Unatafutwa hupatikani vituo vyote vya polisi

Unaokotwa umekufua upelelezi upo polisi

Na polisi wanapewa kaz waitafute polisi

Niacheni niongee

Mi ndio sauti ya watu mtetezii wa watu

Sitaki taifa langu lipotee

Maana taifa ni watu

Maisha ni watu

Leo nita sema sema sema

Sito achakitu

Leo nita sema sema sema

Vijana viva tusilale tusilale

Tupambane jahazi lisizame

Tuache uoga kwenye haki tusimame

Hatuna watetezi tujitetee aah

Nyumbani aliondka baba

Kijiti akshika mama

Mama kweli sisi wanao ila jahazi lina zama

Na waza uwanja wa ndenge nawaza mbuga na miradi

Mikubwa ambayo iliyo jengwa na sasa haifanyi kazi

Marehem hasemwi vibaya alikuwa dingi mnazi

Movie ya staring wa chato part two ni kizimkazi

Karibuni tu bet wadogo zangu mnao hitimu

Maisha mtaani yame chachuka kama dagaa alie wekwa

Mapambano usiku mchana, hamna kanuni muhimu

Hakuna urafiki wala undugu

Kati ya mafanikio na elimu

Wahuni wachafua heshima ya jeshi hapa bongo

Kuvaa viatu vya wazazi wa binti wa yombo

Mlitaka afe sativa ila mungu akamponya

Hiki mnacho kipanda muda wake ukifika mtavuna

Yani mnajua mna kosea mnataka mpigiwe mkofi

Na mkikosea tukikosoa mnatutumia polisi

Wana kukuteka wanakuja kama polisi

Unatafutwa hupatikani vituo vyote vya polisi

Unaokotwa umekufua upelelezi upo polisi

Na polisi wanapewa kaz waitafute polisi

Niacheni niongee

Mi ndio sauti ya watu mtetezii wa watu

Sitaki taifa langu lipotee

Maana taifa ni watu

Maisha ni watu

Leo nita sema sema sema

Sito achakitu

Leo nita sema sema sema

Vijana viva tusilale tusilale

Tupambane jahazi lisizame

Tuache uoga kwenye haki tusimame

Hatuna watetezi tujitetee aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©2024 Free Nation.All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE