Home Search Countries Albums

Hunijui Lyrics


Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia
Ninachojua maneno hayavunjagi mifupa
We niseme na ukiishiwa maneno nitakupa
Yaani ninavyoishi sio kama wanavyotaka wao
Wanahabari zangu cha ajabu sinaga zao
Hawanibabaishi hata waniwekee mikao
Wacha waongee maana mdomo mari yao

Mimi, ukinichukia nami nitakuchukia
Mimi, usipopiga nami sitokupigia
Mimi, ukibeba goma langu nabeba la kwako pia
Ukichepuka nami nachepuka dear

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi

Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia

Asubuhi mzigoni, jioni tunakula beer
Kama hunioni sikuoni
Ukiniona nakuona pia

Unga unga mwana ndo maisha ulozoea
Unajifanya nunda mwenzako nishabobea
Ukileta mdomo uswazi ndo nakotokea
Haya leta hadithi zako utamu kolea

Wanashangaa navimba na sina hata mia
Na sio kama ni ushamba
Ila ndo maisha nilochagua 

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi

Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Yeah yeah yeah yeah, ah yeah yeah yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Hunijui (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NAY WA MITEGO

Tanzania

Emmanuel Elibariki, popularly known as Nay Wa Mitego, or simply  Mr Nay,  is a Tanzanian r ...

YOU MAY ALSO LIKE