Home Search Countries Albums

Umenifaa

NANDY

Umenifaa Lyrics


(Wanene)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Huniepusha huniepusha mimi

Ni wewe ulinipa njia pasipo kuwa na njia
Ni wewe ulinipa chakula wakati wa njaa kali
Ni wewe ulinifuta machozi wakati wa huzuni
Ni wewe Baba aah

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Umetarafu na matendo ya wanadamu 
Kwa neno la midomo yako
Umeniepusha na njia za wenye jeuri
Nyayo zangu zi kwako

Nitatengeneza nawe 
Nitajiimarisha nawe
Kwa kinywa changu nitakiri
Ulivyo uaminifu wako

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 
Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 

Wakati wa shida, wakati wa shida
(Umeniepusha na mengi)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Wakati wa shida, wakati wa shida
(Yesu unisaidie)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wanibariki (EP)


Copyright : (c) 2021 African Princess.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE