Thamani Lyrics

Thamani na sura yako
Ndo inafanya ujidai
Usiringe alokupa naye
Iko siku atakuja kudai
Sina thamani mi hunukia ya zamani
Kisa umemuona kishkumbi
Umenikana kuwa rafiki hadharani
Kweli penzi chachu tena silambi
Eeh bora ungekuwa wazi kuwa hunitaki
Ningemiliki kuwa lonely
Kuliko penzi kuwa chachu
Ya maisha yangu furaha usiione
Eeh mwana wa mwenzio
Mwana christina
Maisha yangu kuishi na kinyonge
Zinasema 'Hi'
Ukiniacha nitakufa mazima
Sio sawale, sio sawale
Ukiniacha nitakufa mazima
Itakuwa hatare, itakuwa hatare
Ukiniacha nitakufa mazima
Sio sawale, sio sawale
Ukiniacha nitakufa mazima
Itakuwa hatare, itakuwa hatare....
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : The African Princess / Thamani (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE