Nimekuzoea Lyrics

(Kimambo on the beats)
Aiyayayaya aiyayayaya
Aiyayayaya aiyayayaya
Niko tuli baby
Kama maji kwa mtungi
Nyonga buli baby
Nivute niiishi nibaki kishungi
Aii zuri baby
Nibandike nigande ka gundi
Maakuli nilishe nishibe
Kitumbo ndindi
Unanikoleza, unanichombeza
Unanilegeza ai wee
Ukianzaga ndani unayaweza kitandani
Kwenye meza tsunami, jeneza ni wee
Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea
Kazoea vyote, kazoea mpaka kazoea
Kabobea kote, abobea mpaka kabobea tena
Nalowea kote, nalowea mpaka nalowea
Inakolea yote, nakolea tamu kukolea tena
Nipo katikati nazungukwa na upendo
Sa ninatokea wapi? Kaziba kote hajaacha pengo
Wanafikaga wapi? Peku bila sendoff
Mfike saa ngapi vyote tembea kwa wako mwendo
Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Taste (EP)
Copyright : (c) 2021 African Princess
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE