Home Search Countries Albums

Vi Deadly

WEUSI

Vi Deadly Lyrics


Najua ni vitamu
Nakula mi vitamu
Najua mi vitamu
Nakula mi vitamu

Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 

Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure
Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure

Najua ni vitamu
Nakula mi vitamu
Najua mi vitamu
Nakula mi vitamu

Sipigi ngumi mi napiga simu
Kwa machizi wangu hawapigi gym
Viunoni wametia vinu
Nikisema suu wanateka team

Demu wako vile namshika
Presha itakushika ukishika simu
Uchumba sukari bora lamba sana
Maana kwenye ndoa wanalamba simu

Kila tunapokutana si ni pesa
Lengo ni kupishana na hali ngumu
Wanatukana kujitambulisha
Hii ni kumaanisha kweli game gumu

Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 

Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure
Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure

Najua ni vitamu
Nakula mi vitamu
Najua mi vitamu
Nakula mi vitamu

Nafuta mastress watu wake (Banger)
Mungu akiandika kaandika (Vyema)
Kuyatimiza tu yake (Mema)
Buyaka buyaka iende (Banger)

Tuliwabenta mwenye maji akalete
Msingi pakaleta na sikuwaga na mentor
Makata kata leta, eeh kataleta

Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 

Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure
Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure

Najua ni vitamu
Nakula mi vitamu
Najua mi vitamu
Nakula mi vitamu

Eeh sambaza mapendo kama Bieber
Hakuna mapengo tushaziba
Zungusha kwa meza tunadiba
Safisha kiwanja toa miiba
Watoto wacheze washashiba
Wanapenda upopo, wanapenda mitoko
Wanapenda mikoko, wanapendaga
I say who say babe, am gon dance
Hutupendi kaa kwa kando nasi eeh

Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 

Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure
Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure

Najua ni vitamu
Nakula mi vitamu
Najua mi vitamu
Nakula mi vitamu

Nikikutaka ukanipata
Nikakukata utadata
Nilivyokupata nikakang’ata
Nikakikamata mi ni mtata

Eeh najua pisi kali
Nakula pisi kali ohoo
Watoto sukari (Sukari)
Mbona bado shwari (shwari)

Okay ang bang shika
Uko na wanaume wa shoka
Gang gang super, super nashoboka 
Nakula mi vitamu, napenda vi vitamu wee
Nakula mi vitamu, napenda vi vitamu wee

Najua ni vitamu, nakula mi vitamu
Najua mi vitamu, nakula mi vitamu

Kimanati manatii watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Wala sio kismati watoto nang’oka na zetu vi deadly o 
Mambo nini, mambo sure
Mtoko nini, mtoko sure

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Air Weusi (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WEUSI

Tanzania

WEUSI is a hip hop music group made up of Joh Makini, G Nako, Lord Eyes and Nikki wa Pili from Tanza ...

YOU MAY ALSO LIKE