Home Search Countries Albums

Asante

NANDY

Asante Lyrics


Kwenye mapito nitetee
Nishike nivushe
Ya dunia mazito baba
Usiache yanilemee

Faraja yangu i kwako
Usinishushe nipandishe
Ya dunia mazito baba ee

Hata ninapokosea, we huna hasira 
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila 
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah

Nyakati za shida, wakati wa vita
Uliniwaza toka mwanzoni
Wakanena mabaya wakanipaka za ubaya
Ulinivusha nisiaibike 

Hata ninapokosea, we huna hasira 
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila 
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu
Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wanibariki (EP)


Copyright : (c) 2021 African Princess.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE