Home Search Countries Albums

Haya Badiliki Lyrics


Starbeat boy

Mwenzenu nimeachwa jana na leo nimeshapendwa
Mapenzi yanahitaji ukomando no retreat no surrender
Na tena ukifanya baya moja unapoteza wema uliotenda
Yanini ku jinyonga unywe masumu ukinichoka unakwanda aah
Waliyakuta na si tumeyakuta hakuna jipya kwenye dunia
Walichitiana na si tunachitiana ni yale yale yanajirudia
Ndio maana sishangai nikiombwa sana pesa kuliko msamaha
Thamani ya suti tai soksi isikupe presha kua makini sana

Hayabadiliki mapenzi (hayabadiliki)
Unaweza tendwa ukapendwa tena (hayabadiliki)
Hayabadiliki mapenzi (hayabadiliki)
Unaweza acha ukapenda tena (hayabadiliki)

Tena siku hizi biashara wanauliza una bei gani
Na kama kwa mfuko umechalala humpati wa kuweka ndani
Mapenzi ya sasa tunapendana usiku mwisho kunavo kucha eeh
Sikuizi anasa tu piga nikupige hakuna kuweka future eeh
Waliyakuta na si tumeyakuta hakuna jipya kwenye dunia
Walichitiana na si tunachitiana ni yale yale yanajirudia
Ndio maana sishangai nikiombwa sana pesa kuliko msamaha
Thamani ya suti tai soksi isikupe presha kua makini sana

Hayabadiliki mapenzi (hayabadiliki)
Unaweza tendwa ukapendwa tena (hayabadiliki)
Hayabadiliki mapenzi (hayabadiliki)
Unaweza acha ukapenda tena (hayabadiliki)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Haya Badiliki (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzania

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE