Home Search Countries Albums

Nakupenda

MWENYEHAKI

Nakupenda Lyrics


Oooh oooh, oooh oooh
Oooh oooh, oooh oooh

Kama mpenzi nakuandikia barua
Sanduku la posta ningelijua
Ningetuma kwa residential
Private and confodential

Ningekueleza
Vile nakupenda
Hata usiku na giza
Hata kuwe mchana na jua

Ningekueleza
Vile nakupenda
Hata usiku na giza
Hata kuwe mchana na jua

Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda

Kama mpenzi nakuletea maua
Flavour yako ningelijua
Ningeleta specifically
Mimi mwenyewe personally

Lakini flavour yako si maua
Ni tabia nzuri na dua
Ninazozifanya kila siku 
Baba na sijisifu

Sio mimi pekee yangu Baba
Pia Pitson akupenda
Sio mimi pekee yangu Baba
Jacky B akupenda

Sio mimi pekee yangu Baba
Kenya yote yakupenda
Naona huyu na huyo
Na yule na yule, wote wakupenda

Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda

Oooh oooh, oooh oooh
Oooh oooh, oooh oooh

Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda
Nakupenda Baba nakupenda

Hubadiliki kamwe
Ulinipenda mwanzo
Ulinipenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nakupenda (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MWENYEHAKI

Kenya

Mwenyehaki Mike is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE