Home Search Countries Albums

Mshenga

MSAMI

Mshenga Lyrics


Alu, tekenya, we tekenya
Aya tekenya, we tekenya
Umetoka kila manga
Ka tumejipatia manga

Alu, tekenya, we tekenya
Aya tekenya, we tekenya

Uswahilini hali mbaya
Pesa zangu za ngama
Hakunaga rada
Mshenga anakutuma

Ka-shapu yaani ka Wema Sepetu
Kifu fuani, Hamisa Mobetto
Namuona mrembo huyo
Anavyotamba huyo
Jamani mrembo huyo
Anavyotamba huyo

Katikati ya bahari 
Nimezama mi sioni
Penzi langu tafadhali
Usilitupe masikini

Mshenga kamwambie, mi nampenda
Aii mama, weka tena
Alu, tekenya, we tekenya
Aya tekenya, we tekenya

Wahenga ooh, walishasema
Ndege wafananao huruka pamoja

Kumpata, safi, kumkosa, sitaki
Kumpata, safi, kumkosa, sitaki
We ng'ondoe (Rayvanny mwenye ngoma)
We ng'ondoe (Rayvanny mwenye ngoma)

Tena kamwambie, mi nampenda
Usiku silali namwaza yeye
Mshenga kamwambie, mi nampenda
Woi woi woo, woi woi woo

Alu, tekenya, we tekenya
Aya tekenya, we tekenya
(We flenkeny, we we)

Oooh, oooh, yee yee
Musa -- ataiba jiko langu
We Nelly Zemodo mwanangu wa ukweli
Naogopa kuchelewa nitakuta mwali si wangu
(Wanamuita Dasko)

Shevinyale roho mbaya ataiba jiko langu
Morogoro mazimu top 3 niggas
Naogopa kuchelewa nitakuta mwali si wangu

Kumpata, safi, kumkosa, sitaki
Kumpata, safi, kumkosa, sitaki
(Wanangu wa Lebanon)
Wapi watoto wa remix

Tena kamwambie, mi nampenda
Mshenga kamwambie, mi nampenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mshenga


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MSAMI

Tanzania

Msami Jiovan aka Msami Baby is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE