Home Search Countries Albums

Bora Nikalewe

B2K MNYAMA

Bora Nikalewe Lyrics


Na uhakika ushanivuruga wewe
Maana si utani kila kitu nashika wewe
Mwenyewe kiutani huku unaniangusha wewe
Umeniwekea kwa mbali kichwa unanivuruga wewe

Naona tabu unavovunga 
Utanijibu sangapi (Saa ngapi)
Mashetani yamepanda
Mganga wangu uko wapi?

Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)

Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)

Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe

Nikukumbushe nini kwani we hauoni
Eti we uko na nini nikuote tu ndotoni
Baridi si joto mwilini mi mwenzio sioni
Tulivolishana ya nini siku ile ndotoni
Mama weee

Umekuja na kupepea 
Mi nitalia na nanii
Sijazoea vya kupotea 
Wakati shada uko hewani

Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)

Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe

Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Siogopi / Bora Nikalewe (EP)


Copyright : (c) 2020 Starbeat Records.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzania

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE