Bora Nikalewe Lyrics

Na uhakika ushanivuruga wewe
Maana si utani kila kitu nashika wewe
Mwenyewe kiutani huku unaniangusha wewe
Umeniwekea kwa mbali kichwa unanivuruga wewe
Naona tabu unavovunga
Utanijibu sangapi (Saa ngapi)
Mashetani yamepanda
Mganga wangu uko wapi?
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe
Nikukumbushe nini kwani we hauoni
Eti we uko na nini nikuote tu ndotoni
Baridi si joto mwilini mi mwenzio sioni
Tulivolishana ya nini siku ile ndotoni
Mama weee
Umekuja na kupepea
Mi nitalia na nanii
Sijazoea vya kupotea
Wakati shada uko hewani
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Kwani ushagoma (Ayaya)
Mi nahisi haupo (Aaa iii)
Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe
Bora nikalewe, bora nikalewe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Siogopi / Bora Nikalewe (EP)
Copyright : (c) 2020 Starbeat Records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
B2K MNYAMA
Tanzania
B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O of Starbeat Records. ...
YOU MAY ALSO LIKE