Accueil Recherche Pays Albums

Mungu Unanipenda

MR BLUE

Mungu Unanipenda Lyrics


Baba shida zetu unazijua, unatujua
Baba tulitaka mwanga, umeleta jua
Baba yetu nakunjua, mabaraka tunadua
Kwenye ukame we ndo mvua
Baba mi ni wako hata ukinichukua

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba kanisaidia 
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Mimi mja wako mwenye huo uhai wako
Kwanini niringe kwako baba
Niko kwenye dunia yako nakula matunda yako
Hizi zote mali yako baba

Binadamu hawanipendi, ila Mungu ananipenda
Wachawi mko wengi, ila Mungu ni mmoja

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba utaniokoa
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Baba yangu unanipenda
Kweli baba unanipenda
Unanipenda yeah baba
Unanipenda, unanipenda
Baba unanipenda, unanipenda

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mungu Unanipenda (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MR BLUE

Tanzanie

Khery Sameer Rajab plus connu sous le nom de Mr Blue, est un artiste musicien Tanzanien de Bongo Fla ...

YOU MAY ALSO LIKE