Sakata Lyrics

(Nusder on the beat)
Iyee, ola ola, ola ola
We mwana we umefunika nini
Funua nione
Asa unaninyima nini?
Uchoyo ukome
Peku peku nidondoshe porini
Na miiba zinichome
Kwetu maji mengi ya nini
Nipe matone
Kishati shati piga pasi, ola ola
Leo sema twende wapi, ola ola
Nikugande gande ka papasi, ola ola
Mmmh wewe wewe, ola ola
Aga ma, natafuta kiko iko wapi?
Chuma chuma dede
Wakiuza siso uza gati
Chuma chuma dede
Huko dhambi mwiko sipataki
Chuma chuma dede
Ziba mwanzo mwisho wacha kati
Agaga acha wavunje nazi
Mwagaranyo, ola ola
We niroge na vya nazi
Vya zaramo
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata
[Flavour]
Your love dey shake me like kai kai
If kwa heart you can mind mind
-------
-----
Agaga acha wavunje nazi
Mwagaranyo, ola ola
We niroge na vya nazi
Vya zaramo
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata, isakatue
Sakata
(Wasafi)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Definition of Love (Album)
Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MBOSSO
Tanzania
MBOSSO Khan (real name Mbwana Yusuph Kilungi born 3rd October 1991) is an artist | ...
YOU MAY ALSO LIKE