Home Search Countries Albums

My Lyrics


Kama funguo na kitasa
Yani kwa tope nishanasa eeh
Ntakupa kile unachotaka
My baby punguza haraka
Honey unajua vile unajua
Vile unajua nakupenda
Usije sumbua tulize mua
Utamu nina upenda

Unipeleke kwa baba na mama
You don’t lie
Ukinishaka mwili inazama
Me nafurahi
Me na wewe mbaka kiama, wallah
Tena wakuzikana
Unipeleke kwa baba na mama
You don’t lie
Ukinishaka mwili inazama
Me nafurahi
Me na wewe mbaka kiama, wallah
Tena wakuzikana
Till I die

My my my
Nakupenda my my
My my my
Nakupenda my my
My my my
Nakupenda my my
My my my
Mwenzio Nakupenda my my

Na mi na wenge
Ukiwasha moto
Nakua lege
Kichanga mtoto
Bwana nibebe
Unipitishe chocho
Bonge la bebe
Mwaga maokoto eeh
Unipeleke kwa baba na mama
Unipeleke kwa baba na mama
You don’t lie
Ukinishaka mwili inazama
Me nafurahi
Me na wewe mbaka kiama, wallah
Tena wakuzikana
Unipeleke kwa baba na mama
You don’t lie
Ukinishaka mwili inazama
Me nafurahi
Me na wewe mbaka kiama, wallah
Tena wakuzikana
Till I die

My my my
Nakupenda my my
My my my
Nakupenda my my
My my my
Nakupenda my my
My my my
Mwenzio Nakupenda my my

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : My (Single)


Copyright : (C) Slide Digital


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

GIGY MONEY

Tanzania

GIGY MONEY is a musician and a songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE