Sikatai Lyrics

Hey Darling Umenifunga,Zangu zangu mboni
Hey Darling Umenifunga,Zangu zangu mboni
Mie chali ukiniyima tiba siponi
Ah we ni bima kwangu baya huna ayayayaaaa
Nivimbishe kiboss kitumbo
Wacha wapigane vikumbo
Vile ndege umenisana ulimbo
Kwako kutoka sitamanii
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Unavyotaka napinga mgongo upande
Sina ujanja natii sheria afande
Pale ulipo mi nipo tuu
Ohh baby boo ohh baby boo
Faraja yangu ni wewe tu
Ohh baby boo ohh baby boo
Nivimbishe kiboss kitumbo
Wacha wapigane vikumbo
Vile ndege umenisana ulimbo
Kwako kutoka sitamanii
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sikatai (Single)
Added By : Baraka Mkande
SEE ALSO
AUTHOR
Sharon Tz
Tanzania
Tanzanian female recording artist and best video vixen, Sharon Tz, unlocks a brand new single titled ...
YOU MAY ALSO LIKE