Home Search Countries Albums

Sikatai

Sharon Tz

Sikatai Lyrics


Hey Darling Umenifunga,Zangu zangu mboni
Hey Darling Umenifunga,Zangu zangu mboni
Mie chali ukiniyima tiba siponi
Ah we ni bima kwangu baya huna ayayayaaaa
Nivimbishe kiboss kitumbo
Wacha wapigane vikumbo
Vile ndege umenisana ulimbo
Kwako kutoka sitamanii

Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai

Unavyotaka napinga mgongo upande
Sina ujanja natii sheria afande
Pale ulipo mi nipo tuu
Ohh baby boo ohh baby boo
Faraja yangu ni wewe tu
Ohh baby boo ohh baby boo
Nivimbishe kiboss kitumbo
Wacha wapigane vikumbo
Vile ndege umenisana ulimbo
Kwako kutoka sitamanii

Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Umenikamata kamata kamata vibaya wewe
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai

Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai
Ahaaa kwako sikatai
Aaaha kwake sikatai

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sikatai (Single)


Added By : Baraka Mkande

SEE ALSO

AUTHOR

Sharon Tz

Tanzania

Tanzanian female recording artist and best video vixen, Sharon Tz, unlocks a brand new single titled ...

YOU MAY ALSO LIKE