Home Search Countries Albums

Unaninogesha

MATTAN

Read en Translation

Unaninogesha Lyrics


Nahisi sababu mi nipo, ndo maana na we  uliumbwaa
Uzuri wako hvyo udongo gani najiuliza ulifinyangwaa
Upekee wako karata ya Ushindi hapo  ndipo umenirogaah
Pumzi ya juu nahema  napambana usije kukukomba mbogaah
Mpenz weee  mpenz wee mpenz wee
Nasema hakuna labda kifo wa kututenganishaa
Mpenz wee mpenz wee mpenzi wee
Nasema  hakuna labda kifo wa kututenganisha
"Napo usiombee"

Unaninogeshaa (aaaa,ii,aaa,aaa)
Unaninogesha.(iii,aaaa,aaa)
Unaninogesha(aaa, iii,aaa,aaa
Unaninogesha
"Mpenz wee mpenz wee mpenz wee
Nasema  hakuna labda  kifo wa  kututenganisha"

[VERSE 2]
Aa  kuisha kwa muhindi ni vile una upukuchua
Usije nipunja mwezio nawa jua break za moyo ushazivunjaa
We ndoano nishanasa kibubu umeniweka umenijaza sarafu
Upofu tumekuwa mfupa kwa mnofu
Pembeni sioni..nakuwa mpofu mpofu

Aa' mpenz wee mpenz wee mpenz wee
Nasem hakuna labda  kifo wa kututenganishaa

Mpenz wee mpenz wee mpenz wee
Nasema  hakuna labd  kifo  wa kututenganishaa
Napo usiombeee

Unaninogesha (iii,aaa,aaaa)
Unaninogesha (iii,aaa,aaaa)
Unaninogesha (iii,aaa,aaaa)
Unaninogesha (iii,aaa,aaaa)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unaninogesha (Single)


Copyright : (C) 2020 Mattan.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MATTAN

Tanzania

Mattan is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE