Home Search Countries Albums

Punguza

MATTAN

Punguza Lyrics


Ai woh my we kununa vibaya
Hanihusu ndewe wala siki pressure chunga itakuzika
Ai kuchunguzana hata kama wivu utakupikaa
Maana ishakua tabia kwa io nsiongee na watu niogope utanichunguza wee
Labda nikuondoe wasi wasi nafasi moja moyoni ninakupenda wee
Kichwani kwa Mafiga nishakuinjika wee
Ohoo basi punguza wivu utaharibu michongo
Mi najua unanipenda
Huo wivu utaja nitoa nyongo
Meseji zisio kuhusu unafungua Tabia mbaya
Tena hatuaminiani nidhamu imepungua Tabia mbaya
Yeye yeee

Punguuzaa…..Punguzaaa 
Punguuzaa…..Punguzaaa 
Oh oho enhe enhee
La la lalaa
Oh yeee

Yeah Nalijua mkoko manga Utaninogea Ndio basi Chungu ina nkakasi
Hizo pigo sio ujiamini mwanamke kwa yako nafasi
Nikitoka unatokanyuma kwa nyuma Unanichunguza ee
Mapenzi gani au hivyo ndio ulifundwaa
Ohh my we asa nifanyaje mwenzangu ubadili tabia

Ugonjwa pale siponi ninapotibu tena unarudiaa
Meseji zisio kuhusu unafungua Tabia mbaya!
Tena hatuaminiani nidhamu imepungua Tabia mbaya!
Yeye yeee

Punguuzaa…Punguzaaa 
Punguuzaa…..Punguzaaa 

PunguZa Mamaa wee iyee
Punguuza ….Tuyajenge mapenzi mimi na wewe
Puuunguza..Punguza Punguza Ninakupendaa Punguzaa
Iyee ohoo
Punguzaa oh yee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Poison (EP)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MATTAN

Tanzania

Mattan is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE