Home Search Countries Albums

Nazama

KISAMAKI

Nazama Lyrics


Kwa kwanza paja mzigo
Nikishafunikwa chali sijiwezi
Nikiguza nido 
Beki zake hazikabi

Nalegea, ukinigusa Dodoma
Na sio fair ukiniweka sodoma mama
Nahofia, eeh Mungu sitamuona eeh
Chonde chonde usije nibwaga
Nikaja maliza vichelema

My darling
Ya kongo umenishaweka himaya
Mimi kwako ndege
Nishanyonyoka mbawa

Moyo wangu mwenzako wadunda kutw
Wewe mama
Mimi kwako siwezagi furukuta
My love

Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)

Baby mwenzako na kiraru raru
Sichelewagi kununa eeh
Nitalewa kama ngaru ngaru 
Ukija niacha kama Fatuma

Za nini fujo kama faru faru
We nizamishe kwenye kina
Ushaniteka mista faru faru
Wewe usiyejulikana eeh

Mi napenda unavyokatika
Na zile binu binuka 
Wanikosha ile mbaya ah-ah
Umeniroga mama eeh sawaaa

Show zetu acapella
Wapinzani wanaisoma namba 
Huo mzigo kwa dera eeh 
Mjeshi nasahau kutinga gwanda eeh

Moyo wangu mwenzako wadunda kutwa
Wewe mama
Mimi kwako siwezagi furukuta
My love

Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)


Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)
Maji ya shingo(Nazama)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nazama (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KISAMAKI

Tanzania

Kisamaki is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE