Ni Wewe Lyrics
From January to December nimejua alinilinda
Ni wewe
Tangu mawio machweo alinipa huu mwangaza
Ni wewe
Nyakati za huzuni, furaha
Zote unanipa amani
Milimani, mabondeni
Kote unakuwa nami
Nchi ya ahadi ni nzuri imejaa asali
Iyee iyee, iyee iyee
Na mwisho wa njia ni mzuri kuliko mwanzoni
Wa kunifikisha mbali ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Sina mwingine
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ujaze bodo langu mishale
Vitani ni wewe Bwana
Ufutae uso wangu aibu
Na fedheha ni wewe Bwana
Hayupo mwingine
Wa kunifuta machozi yangu ila ni wewe
Ninapokosa ujasiri
Na nguvu zijaponiishia msaada wangu ni wewe
Nchi ya ahadi ni nzuri imejaa asali
Iyee iyee, iyee iyee
Na mwisho wa njia ni mzuri kuliko mwanzoni
Wa kunifikisha ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Hayupo mwingine ila wewe Bwana
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe msaidizi wangu Bwana
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
Ni wewe Bwana, ni wewe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Ni Wewe (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE