Yalaaaa Lyrics

(Mojaaa..)
(Mocco!)
Mmmh kaniumbua umbua
Anavyonidadavua
Vitu flani vya kusisimua
Chachambu anavyo ichambua
Hunipa ning’ate ng’ate
Mikato nikate kate
Igande inate nate
Itelezeshwe kwa matee
Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa!
Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa!
Kanipania paniaaa
Na hajataka kuniachia
Kanipania pania
Na hajataka kuniachia
Kama samaki hulumangia
Huanza kichwa mpaka na mkia yahyah
Naiomba serikali (Kali)
Kijana apelekwe mbali (Mbali)
Ananifanya silali (Lali)
Siwazi, sitafakari
Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa!
Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa! Yalaaaa!
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, mshukushuku
Yakhayuku, mhukushuku
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, mshukushuku
Yakhayuku, mhukushuku
Aii tende (Tende)
Halua (Halua) mama
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, yakhayuku
Mshuku shuku
Yakhayuku, mshukushuku
Yakhayuku, mhukushuku
(Kamix Lizer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Yalaaaa (Single)
Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ZUCHU
Tanzania
Zuchu real name Zuhura Othman Soud Kopa (born November 22, 1993) is an artist/Singer/Songwriter/Perf ...
YOU MAY ALSO LIKE