Accueil Recherche Pays Albums

Usikate Tamaa

MASAUTI

Usikate Tamaa Lyrics


My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha
My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha

Usilie
Ukilia utaniliza
Nivumilie
Yako machozi nitayafuta

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Kwenye raha na dhiki
Naomba upendo uwe pale pale
Tena uwe wa haki
Na roho nyuma usirudi kamwe

Mi natambua
Unahitaji nyumba na gari za kifahari
Tena najua
Zako nywele zinahitaji kwenda saluni

Sababu hali yetu duni sana
Kama natuendeshe gari mama
Mwenzio natafuta usiku na mchana
Tuishi nyumba ya kifahari mama

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Nivumilie, vumilia
Wangu cherrie

Usije niache solo mama
Hey Usije niache solo(Utaniumiza)
Hey usiniache solo
Utaniliza Masauti yeah..eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Usikate Tamaa (Single)


Copyright : (c) 2020 Dream Nation.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MASAUTI

Kenya

Masauti est un artiste chanteur kenyan. ...

YOU MAY ALSO LIKE