Home Search Countries Albums

Naunga

MARISSA

Naunga Lyrics


Barua uliyoituma imefika mama nimeipata
Imechoma na moyo umeniuma 
Yabitawe kiboko na sada
Natamani nipate mwanao nirudi nyumbani nikutunze
Tuzikwepe dhiki na vilio
Maisha ya kushindia punje

Huku mjini maisha yangu rafiki yake ni kilio
Tamu hakuna chungu kwangu kila siku matukio
Mama huku mjini ni visanga, Amber Lulu ameitwa Basata
Ngala yangu ya chini sio kitanda, viroboto kunguni ni kung'ata

Ila bado naunga naunga ee, naunga unga
Sina kodi ya chumba naunga ee, naunga unga
Mama bado naunga naunga ee, naunga unga
Vazi langu mtumba ndo ning'ae naunga unga

Nahisi naishi kwa imani yake Baba
Minuksi mikosi imeniandama
Ndo chana kuja nitapata kesho
Nikishtuka niko leo
Maisha yangu vichekesho kama movie ya video
Oh mama wapi baba, kumbwa na tamaa
Dhiki ya mali, tamaa ya mali au ndo ulipagawa na Dar

Huku mjini maisha yangu rafiki yake ni kilio
Tamu hakuna chungu kwangu kila siku matukio
Mama huku mjini ni visanga, Amber Lulu ameitwa Basata
Ngala yangu ya chini sio kitanda, viroboto kunguni ni kung'ata

Ila bado naunga naunga ee, naunga unga
Sina kodi ya chumba naunga ee, naunga unga
Mama bado naunga naunga ee, naunga unga
Vazi langu mtumba ndo ning'ae naunga unga

Nikipata natuma upate sembe, naunga unga
Vijisenti natuma ushone tenge, naunga unga 
Katikati nayapitia denge, naunga unga
Msafara wa mama nipo kenge, naunga unga

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Naunga (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARISSA

Tanzania

Marissa real name Marissa Maina is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE