Home Search Countries Albums

Unanionea

MARIOO

Unanionea Lyrics


Hivi kweli yupo
Mwenye roho mbaya kukushinda
Maana mi sijaona duniani

Hivi kweli yupo
Aso na haya kukushinda
Maana mie sijaona sijaona

We mtu gani uko radhi
Mwenzako niteketee
Wakati unajua dawa yake
Ni kumponya, nihurumie

Ama mtu gani aliefika 
Akaongeza makeke 
Na wakati anajua 
Mi kwako ndo napona, we nihurumie

Mi najua mapenzi 
Sio kwichi kwichi tu
Yanayonogaga mazoea
Nimekuzoea mmmh

Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito
Unanionea, unanipiga mie
Unanionea, unafanya nione mapenzi mabaya
Unanionea, lalalaa mmmmh

Na kama kuachana nakubali
Sawa fanya yako
Ila sio lazima unionyeshe uniumize

Au kisa unajua
Unaniacha bado nakuhitaji
Ndo unaona bora unikomeshe
Unilize eeeh

Ah poa poa, nishajua vya utamu 
Vinakuwaga vya uchungu
Ili doa doa milima haikutani

Japo najua mapenzi 
Sio kwichi kwichi tu
Yanayonogaga mazoea
Nimekuzoea mmmh

Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito
Unanionea, unanipiga mie
Unanionea, unafanya nione mapenzi mabaya
Unanionea, lalalaa

Unanionea, unanionea bure
Hata Bonga anajua unanionea
Chino anajua, unanionea
(It's Lykos records)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unanionea (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE