Home Search Countries Albums

Sina Baya

MARIOO

Sina Baya Lyrics


Mmmmh baaaad
Shiii

Mnanipenda yes papa, aaah yes papa
Mnanikubali yes papa, eeeeh yes papa
Si Mnanipenda yes papa, aaah yes papa
Mnanikubali yes papa, eeeeh yes papa

Ah sina noma na dangote
Sina noma na king kiba
Sina nome na konde boy
Sina noma na vanny boy
Nikisema mmmmh marioo
Mnasema aaaaah huna baya
Sema mmmmh marioo
Aaaaaah huna baya
Chiii
Chukutu chukutu chukutu, chukutu chukutu
Kukutu kukutu kukutu kukutu kukutu
Shuu shuu shuu shukushuuu
Shuu shuu shuu shukushuuu
Ayii
Ah nikisema mmmh
Chiii

Yani kamba juu ya kamba miva kama fei toto
Kila kona me natamba mawe yote ya moto
Masala wangu oooh tulewe leo
Ooooh tulewe leo
Masala wangu oooh tukunywe leo
Ooooh tukunywe leo
Sina noma na chibudenga
Sina noma na king kiba
Sina noma na konde boy
Sina noma na chui
Nikisema mmmmh marioo
Mnasema aaaaah huna baya
Sema mmmmh marioo
Aaaaaah huna baya
Chiii
Chukutu chukutu chukutu, chukutu chukutu
Kukutu kukutu kukutu kukutu kukutu
Shuu shuu shuu shukushuuu
Shuu shuu shuu shukushuuu
Mmmmh baaaad

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Sina Baya (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE