Home Search Countries Albums

Raha

MARIOO

Raha Lyrics


Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima? Aii utajiju
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang'au

Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka

Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Napenda akinipa 
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho

Na kama mapenzi
Roho yake bahari 
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga

Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani 
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Raha (Single)


Copyright : (c) 2019.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE