Wao Lyrics
Mwasiti - Wao lyrics
Unanijua nilivyo, unanijua nilivyo
Umechukua moyo wangu wote mazima, kaka wee
Umechukua moyo wangu wote mazima, kaka wee
Unanijua nilivyo, unanijua kaka wewe nilivyo
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..
Uwongo siwezi tena, kwako wee
Mwingine sitamani tena, wengine
Moyo wangu, moyo wangu wakutaka wewe tu
Akili yangu, akili yangu yakuwaza wewe tu
Moyo wangu, moyo wangu wakutaka wewe tu
Akili yangu, akili yangu yakuwaza wewe tu
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..(Lakini wao wao wao wao wao)
Lakini, ooooh..
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Wao (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MWASITI
Tanzania
Mwasiti also known as Chitty Witty is a Tanzanian Song bird she is one of the few super talented fem ...
YOU MAY ALSO LIKE