Accueil Recherche Pays Albums

My Life

MARIOO

My Life Lyrics


Wanasemaga nabiii hakubaliki kwao (kwaoo)
Hata mi walikuwepo wakunipinga kitaani
Walisemaga wahenga eti Mtu kwaoo (kwaoo)
Wachache walikuwepo wakaniamini kitaani, aah
Toka home mpaka studio kwa mguu,viwalo vipya kutupia sikuuu
Nguo mbaya imepauka kuu kuu
Kula yangu anaijua aliye juu uuh uuh
Mmh yeeeh aah
Mungu hakunyimi vyote akikupa kilema atakupa na mwendo
Sawa sijasoma akanipa kipaji ntimize malengo
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up

Ilikua kama movie
Ila tunaishi kwa love
Waliotukwamishaga tunaln kama changamoto
Leo imekua kama movie,ila tunaishi kwa raha
Tunamipila na kila zaga ujana maji ya moto
Asante sana kwa kunifanya super star
Leo najulikana kila kona ya mtaaa
Ahsante mama mwanao kipenzi cha watu
Napendwa sana kona zote za mtaa
Mungu hakunyimi vyote akikupa kilema atakupa na mwendo
sawa sijasoma akanipa kipaji ntimize malengo
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up
Never, never, never never give up

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : The Kid You Know (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzanie

Marioo est un artiste chanteur et auteur tanzanien, basé à Dares Salaam. Il se fait co ...

YOU MAY ALSO LIKE