Home Search Countries Albums

Ni Ngozi ya Mwafrika

ANNOINT AMANI

Ni Ngozi ya Mwafrika Lyrics


Ah mama mamama ma Miriam Makeba
We mama mamama ma Rebecca Malope
Rose Muhando, Yvonne Chaka chaka

----
----

Naazimia moyoni mwangu nitatoka hapa
Maana maisha ya nyumbani yamenishinda
Najiuliza naumiza kichwa mimi niende wapi?
Maana bado ngozi ya Muafrika ina shida

Mbona nakuwa mtumwa?
Katika nchi zile za ugenini
Mwafrika?

Mwafrika nina nini?
Mbona mnanionea?
Nikiwa katika nchi za ugenini
Mbona mnaninyanyapaa

Ngozi yangu ina nini?
Mbona mnanidharau
Mwaniita nyani
Eti mwafrika ni tumbili

Eti hatuwezi kujiongoza wenyewe
Mwafrika nina nini?
Nimewakosea nini?

---
---

Mlikuja kunitawala bila hiari
Nikawa mtumwa wenu Mwafrika
Nilipoomba uhuru wangu Mwafrika
Mkaniua bila huruma

Damu likamwagika Afrika
Mwafrika nina nini?
Nimewakosea nini?

Pole mwafrika
Unatumia vibaya
Unadanganywa toto mwafrika
Wachukue mali zako

Wanakuletea magonjwa mwafrika
Tena wanaletewa madawa Afrika
Unadanganywa toto mwafrika
Wanapenda uwasujudie mwafrika

Wanatugombanisha waafrika
Ili tuuwaane waafrika
Ili wachukue mali zetu waafriaka

Mwaafrika uko wapi?
Rudi nyumbani mwafrika
Acha kuhangaika kwa watu mwafrika
Njoo uinue uchumi wa nchi yako mwafrika

Rudi nyumbani mwafrika
Njoo uijenge nchi yetu mwafrika
Mwafrika, rudi nyumbani mwafrika
Huko sio kwenu mwafrika

Mbona umevamia ya watu mwafrika
Ushoga sio wetu mwafrika
Usagaji sio wetu mwafrika
Rudi nyumbani mwafrika

Umeharibika mwafrika
Umesahau maadili mwafrika
Unaiga ya watu mwafrika
Rudi nyumbani mwafrika

Mwafrika wewe...

---
---

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Ni Ngozi ya Mwafrika (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ANNOINT AMANI

Tanzania

Annoint Amani is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE