CCM Raha Lyrics

Hoyee CCM inogire
Lolololo..
Wapinzani mmpepima, eh mtajijua
Huu mwaka mtachina utawala msahau
CCM twaiaminia inatosha inatosha
Ona bara nzima ka Kariakor, mabarabara
Nachekaga nikiwasikia
Mkiropoka ropoka
Huku Magufuli anachapa kazi
Anang'ara ng'ara
Na kwa taarifa yenu hatuwezi anguka
Yupo Magufuli wa kututetea
Anatupenda, maendeleo ametuletea
Flyover iko super
Haijawahi hivi kutokea
Anatupenda, anatupenda
Si wenyewe tunaenjoy
Mpaka raha, mpaka
Tanzania kaitakatisha
Mpaka raha, mpaka
Magufuli kipenzi cha watu
Mpaka raha, mpaka
Tunampenda, tunampenda
Mpaka raha, mpaka (CCM inogire)
Mafisadi wanamuita
Wanamuita tinga tinga
Ukileta mchecheto kazini
Anazoa zoa
Na kama maendeleo
Tanzania ya sasa sio ya zamani
Ndege za kwetu, airport yetu
Na kama maendeleo
Tanzania ya sasa sio ya zamani
Migodi ya kwetu, madini yetu
Na kwa taarifa yenu hatuwezi anguka
Yupo Magufuli wa kututetea
Anatupenda, maendeleo ametuletea
Flyover iko super
Haijawahi hivi kutokea
Anatupenda, anatupenda
Si wenyewe tunaenjoy
Mpaka raha, mpaka
Tanzania kaitakatisha
Mpaka raha, mpaka
Magufuli kipenzi cha watu
Mpaka raha, mpaka
Tunampenda, tunampenda
Mpaka raha, mpaka (CCM inogire)
Mama Samia anacheka
Majaliwa anafurahi
(The Mix Killer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : CCM Raha (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE