Home Search Countries Albums

CCM Raha

MARIOO

CCM Raha Lyrics


Hoyee CCM inogire
Lolololo..

Wapinzani mmpepima, eh mtajijua
Huu mwaka mtachina utawala msahau
CCM twaiaminia inatosha inatosha
Ona bara nzima ka Kariakor, mabarabara

Nachekaga nikiwasikia
Mkiropoka ropoka
Huku Magufuli anachapa kazi
Anang'ara ng'ara

Na kwa taarifa yenu hatuwezi anguka
Yupo Magufuli wa kututetea
Anatupenda, maendeleo ametuletea

Flyover iko super
Haijawahi hivi kutokea
Anatupenda, anatupenda

Si wenyewe tunaenjoy
Mpaka raha, mpaka 
Tanzania kaitakatisha 
Mpaka raha, mpaka 

Magufuli kipenzi cha watu
Mpaka raha, mpaka 
Tunampenda, tunampenda
Mpaka raha, mpaka (CCM inogire)

Mafisadi wanamuita
Wanamuita tinga tinga
Ukileta mchecheto kazini
Anazoa zoa

Na kama maendeleo
Tanzania ya sasa sio ya zamani
Ndege za kwetu, airport yetu

Na kama maendeleo
Tanzania ya sasa sio ya zamani
Migodi ya kwetu, madini yetu

Na kwa taarifa yenu hatuwezi anguka
Yupo Magufuli wa kututetea
Anatupenda, maendeleo ametuletea

Flyover iko super
Haijawahi hivi kutokea
Anatupenda, anatupenda

Si wenyewe tunaenjoy
Mpaka raha, mpaka 
Tanzania kaitakatisha 
Mpaka raha, mpaka 

Magufuli kipenzi cha watu
Mpaka raha, mpaka 
Tunampenda, tunampenda
Mpaka raha, mpaka (CCM inogire)

Mama Samia anacheka
Majaliwa anafurahi

(The Mix Killer)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : CCM Raha (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE