Home Search Countries Albums

Bakwine Lyrics


Huh zindegimera na dushi
Usicheze na wakushi utanawa tu ila msosi ukusi
Ukileta habari za kizushi, mangumi vifurushi
Na hatushushi vioo tukiwa tunapush

Uhangaika wa riziki wao ndo basi tena
Isingekuwa hivi hadi nao 
Yanofurahisha yajayo
Mambo ni wiz wiz kidayo

Watafreeze na haifiki hata wiki ijayo
Msodoki fundi wa mafundi yaani mwana wa marundi
Sigungi kulewa na kutupiana vishungi
Jambazi shoga shungi stams pa nyota mi na Ruby
Cheki hawaoni mbele wamebugi

Mwanza Mwanza kwenye map
Mbele ya watu na viatu
Inaitwa mwana ukome hio
Usiende disco JUmatatu

Rookie joker, uruki chatu
Bila mgumo kuna trap
Vitendo dhidi ya maneno hio nobody can stop me
Msodoki mwanaume wa mashoko na round hii
Walahi I don't need enemies allow me
Makuzi allow me, mapuuzi kama puzi allow me

Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero

---
---

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Bakwine (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MANENGO

Tanzania

Manengo is a bongo flavour artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE