Bakwine Lyrics

Huh zindegimera na dushi
Usicheze na wakushi utanawa tu ila msosi ukusi
Ukileta habari za kizushi, mangumi vifurushi
Na hatushushi vioo tukiwa tunapush
Uhangaika wa riziki wao ndo basi tena
Isingekuwa hivi hadi nao
Yanofurahisha yajayo
Mambo ni wiz wiz kidayo
Watafreeze na haifiki hata wiki ijayo
Msodoki fundi wa mafundi yaani mwana wa marundi
Sigungi kulewa na kutupiana vishungi
Jambazi shoga shungi stams pa nyota mi na Ruby
Cheki hawaoni mbele wamebugi
Mwanza Mwanza kwenye map
Mbele ya watu na viatu
Inaitwa mwana ukome hio
Usiende disco JUmatatu
Rookie joker, uruki chatu
Bila mgumo kuna trap
Vitendo dhidi ya maneno hio nobody can stop me
Msodoki mwanaume wa mashoko na round hii
Walahi I don't need enemies allow me
Makuzi allow me, mapuuzi kama puzi allow me
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
Bakwine makongejero, Bakwine makongejero
---
---
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Bakwine (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE