Accueil Recherche Pays Albums

Najuta

LOMODO

Najuta Lyrics


Nilikupenda, nikakuamini
Utanipenda utakua na mimi
Kumbe unanilisha matango pori, matango pori
Nikakkujali nkakuthamini
Nikasamehe mara sabini
Ukikosea ukisema am sorry, ukisema am sorry
Kweli majuto ni mjukuu
Najuta kukuamini
Niliamini penzi utalitunza
Kumbe naubwaga moyo
Yangu macho umetia vitumguu
Kila siku nalia mimi
Nashukuru leo umenifunza
Nilikuaga poyoyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Oho mapenzi maradhii aiyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Mi umeniachia maradhii
Ooh ooh oooh
Mbona nilikupenda sanaa
Ooh ooh oooh
Sasa hivi ndo nini tena baby
Ooh ooh oooh
Ninapuyanga unapuyanga baby

Nakuona gaidi nakuona muuaji
Ulicheza na hisia zangu
Uliniomba kijiji nikakupa jiji
Leo umeniacha peke yangu
Ukweli siamini, siamini
Mapenzi ni ya wote lakini anayeteseka mimi
Ukweli siamini, siamini
Mapenzi ni ya wote ila mii
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Oho mapenzi maradhii aiyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Mi umeniachia maradhii
Ooh ooh oooh
Mbona nilikupenda sanaa
Ooh ooh oooh
Sasa hivi ndo nini tena baby
Ooh ooh oooh
Ninapuyanga unapuyanga baby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Najuta (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

LOMODO

Tanzanie

LOMODO est un artiste chanteur tanzanien de musique Pop et Rnb. ...

YOU MAY ALSO LIKE