Home Search Countries Albums

Unanitosha

LOMODO

Unanitosha Lyrics


Mahaba mbingu la penzi lanifunika
Abadan sito kukimbia (yeah)
Kifuani, ninapenda ukishika unadeka
Na mambo ya pwani, unanipatia iyeee

Niambie nikupe nini unachokikosa,usibadilike
Kama wewe kufuli mie kitasa, mlango nishike
Na time nikikosa usiende kukopa, unifedheheshwe
Nyumba penzi lisiwe la mateka, lipepee(yeah)

Ona nahisi baridi kutetema
Unikumbatie raha sanaa
Nipee kona,
Mikunju ka summer beach hodari
Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia
Unaendaga nami, unanitosha kupindukia
Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia
Iye...iye..iye...iye. Unanitosha kupindukia
Iyo...iyo..iyo...iyo

Tukikosa mchana, tutakula dinner
Siri nitunzie
Sijachana jina, nimembeba heshima
Kwako nitulie

Unipe ulafundi wa nakungwi
Washushuke japo sio mtungi
Tuishie mpaka tulilambe vumbi
Tuwasute walevi na mazombi

Ona nahisi baridi kutetema
Unikumbatie raha sanaa
Nipee kona,
Mikunju ka summer beach hodari
Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia
Unaendaga nami, unanitosha kupindukia
Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia
Iye...iye..iye...iye unanitosha kupindukia
Iye...iye..iye...iye
Iye...iye..iye...iye

Ooooh oooh .....
Ooooh ooooh....

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Unanitosha (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LOMODO

Tanzania

LOMODO is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE