Accueil Recherche Pays Albums

Ngongongo Lyrics


Tatizo langu mimi nawe
Haunaga msimamo
Safari ya kulia unaenda kushoto
Mtu wa tamaa ya pesa na vito

Last time I met you 
Nikaona no one like you(No one like you)
Unadata unapagawa na ma Bongo Flava
Pombe ukilewa unagawa fleva

Ukajisahau
You used to be my best friend
Bora niende zangu 
Nawaachia wenzangu

Sina haraka ya kutafuta mwingine 
Wakukulinganisha naye
Sitakufa nikiachana nawe
Sikuzaliwa na wewe

Saa nyingine 
Namiss utani, ucheshi wako
Nyuma ya spika 
Ile midundo yako

Bora nikuwache, 
Upite kama upepo
Au kama...
Walimopita wenzako

Nikiwaza jinsi nilivyokupenda(Ukaenda)
Hukujali maumivu makali utakayonipa(Ukaenda)
Nasema go, sitaki tena ngongongongo
Mlangoni kwangu ngongongongo ngongongongo(Ukaenda)

Nikiwaza jinsi nilivyokupenda(Ukaenda)
Hukujali maumivu makali utakayonipa(Ukaenda)
Nasema go, sitaki tena ngongongongo
Mlangoni kwangu ngongongongo ngongongongo

Nishazoea, kulala na mpenzi kuamka mdomo wazi
Amenitisha tisha, mimi hainibabaishi eeh
Wanakufa, huwa tunazika tunasahau
We ni nani uiendeshe akili yangu?

Hakuna
Ulichosahau kwangu
So miezi sipunguzi
Mi kwako sio kitu

Sina haraka ya kutafuta mwingine 
Wakukulinganisha naye
Sitakufa nikiachana nawe 
Sikuzaliwa na wewe

Sina kinyongo sikudai figo 
Baby you better
Sitafungua milango 
Ukibisha hodi

Ngongongo, ngongongo
Ngongongongo ooh ooh ooh..

Bora nikuwache 
Upite kama upepo
Au kama...
Walimopita wenzako

Nikiwaza jinsi nilivyokupenda(Ukaenda)
Hukujali maumivu makali utakayonipa(Ukaenda)
Nasema go, sitaki tena ngongongongo
Mlangoni kwangu ngongongongo ngongongongo(Ukaenda)

Nikiwaza jinsi nilivyokupenda(Ukaenda)
Hukujali maumivu makali utakayonipa(Ukaenda)
Nasema go, sitaki tena ngongongongo
Mlangoni kwangu ngongongongo ngongongongo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Ngongongo (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LINEX SUNDAY MJEDA

Tanzanie

Linex Sunday Mjeda is a bongo flavour artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE