Home Search Countries Albums

Wenyewe

KUSAH Feat. MAUA SAMA

Wenyewe Lyrics


Kama ni gari umeliwasha limewaka
Na niko shwari iih  ukwia kando sina mashaka
Vile vituto vya chumbani vi udi na ubani
Vagi la sunami hadi nasema kunani
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe

Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi

Hallo
Tuhame huku kwenye bangaloo
Twende masaki tuwarushe roho
Mapenzi yetu yawakabe koo
Halloo
Mwendo wa kupima
Uzuri flani rangi ya madina
Nikutoe dinner
Wavimbe macho kama wachina oh oh oh
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe

Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Wenyewe (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE