Home Search Countries Albums

Nilie vipi Kayombo

BEST NASO

Nilie vipi Kayombo Lyrics


Sitasahau mwaka 2007 nikiwa mtaani nasota sota
Tumechoka kama chokoraa
Na mwanangu wa damu chifu maker
Ukaona bora utusaidie

Ulipogundua vipaji vyetu ukapigana kwa moyo na roho
Ukatukutanisha na Dj Rwarumu
Wimbo wetu wa kwanza uliitwa "Zaina"
Na waTanzania wakaupokea 
Wimbo wetu wa pili uliitwa Tuma
Tuma ringa ndo ikatoboa 
Na maisha yakachange kidogo
Walotudharau wakapungua 
Tukajivunia Kayombo
Na kila ofisi tukaingia tukavimba tukatamba sana

Wasio tujua wakatujua 
Show yangu ya kwanza ilikuwa Congo
Ulifurahi sana ukaniambia
Naso kwa sasa umekuwa

Ongeza bidii usijepotea
Wakati huo wimbo ni mwamada
Ninafanya hapo mtaaani nalia 
Niliporudi Congo hatukuchelewa
Tukaachana rudi kijijini

Ikawa balaa tukajipongeza mate bila nakotra
Na viwanja vyote Musoma
Muda wote ulipenda kucheka
Sitosahau tulipokuwa na Bongo

Na marafiki Kevin na Mapambano
Eti hatutakuona tena
Dunia kwangu naona imekuwa mzigo
Mchoraji mwenzangu ni wewe Kayombo

Hivi ni nani nitamtaja tena
Moyo wangu umejaa simanzi kuondoka
Baba yangu mlezi 
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi

RIP Kayombo Doctor

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nilie vipi Kayombo (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzania

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE