Mateka Lyrics

Ooh mama yeah, ooh mama yeah
Yeah yeah
Kanilambisha limwata
Nisikule
Nahisi kama nadata eeh
Msukule eh
Na moyo wangu unawasha
Upelee
Napuliza nakung’ata eeh
Panya buku
Upendo umevuka kina
Nina wivu mpaka roho inauma
Iwe Japan au China
Weka gundi baby tutagandana eh
Supu ukitia nazi utaharibu
Kidole niweke pete, tuwe karibu
Kisha tukawasalimu
Bibi na babu, babu babu babu
Watupikie mihogo
Tunywe mbege
Tukacheze sindimba
Ndege limetua kwenye mti wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah),Nimetekwa mateka
Nimeridhika hayuni wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah),Nimetekwa mateka
Mlango nimepata kufuli wee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Hapa mwisho wa ujeuri yee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Ndoto yake ilikuwa kunipata
Alivyonipata sindo akanipa
Alivyonipa nikashangaa nadata
Nikazama mazima
Wa kwangu mwenyewe
Huyu, huyu, huyu, huyu
Nimempenda mwenyewe,
Huyu, huyu, huyu, huyu
Wa kwangu mwenyewe mwenyewe
Huyu, huyu, huyu, huyu
Punguzeni vimbembele
Huyu, huyu, huyu, huyu
Supu ukitia nazi utaharibu
Kidole niweke pete, tuwe karibu
Kisha tukawasalimu
Bibi na babu, babu babu babu
Watupikie mihogo
Tunywe mbege
Tukacheze sindimba
Ndege limetua kwenye mti wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Nimeridhika hayuni wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Mlango nimepata kufuli wee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Hapa mwisho wa ujeuri yee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Huyu, huyu, huyu, huyu...
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Mateka (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE