Accueil Recherche Pays Albums

Hayafai

KIDUM

Hayafai Lyrics


Unataka nijiue
Hutosheki na pendo langu
Mawinbo nimeimba, maua nikaleta
Ili tu nione tabasamu lako
Milima na mabonde, kunyeshewa na mvua
Ili tu nioneshe upendo wangu kwako
Inashangaza , Unae mpenda huwa hakupendi
Inaumiza, kuona kwamba hizi siku zote hujatambua
Kuhusu upendo wangu kwako
Unaniringia, huchukui simu zangu
Kila saa nikuninunia
Natamani kuskia kutoka kwako

Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Unataka kuniona tu nikiwa nimechizi
Si kitu mzuri si ustaarabu
Mapenzi isiwe chanzo chakuniweka mimi kwa magoti
Rekebisha
Nitatuma ujumbe mfupi kwa simu kama Leo alafu unajibu
Baada ya siku mbili
Unashindwa kunieleza kama unamwengine unaenzi
Kuniliko
Unanichanganya, nikidhani unanipenda sana
Alafu unabadilika, natamani siku zetu za hapo mwanzo

Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa nakunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Unaniringia, huchukui simu
Kila saa nikuninunia
Natamani kuskia kutoka kwako
Kunitenda kunitesa na kunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Kunitenda kunitesa na kunikejeli
Ni mambo hayafai, hayafai
Haya haya haya haya hayafai

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Hayafai (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

KIDUM

Burundi

Kidum, de son vrai nom Jean-Pierre Nimbona, est un artiste musicien burundaisde musique Afro - zouk, ...

YOU MAY ALSO LIKE