Home Search Countries Albums

Hatuachani

KIDUM

Hatuachani Lyrics


Kama vile simba amekula akashiba
(Ilogos Music yeah)

Nimpende nani kama si wewe
Niende kwa nani mwingine kutafuta penzi
Nimeridhika kwa penzi lako unanipa
Kwanza sa macho zangu hazioni mtu mwingine

Kama vile simba amekula akashiba
Sitaki mtu mwingiw wala kitu kingine

Penzi lako limenimaliza kiu
Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu
Penzi lako limenimaliza kiu
Sina ubao wa kupenda tena

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani

Hatuachani, hatuachani
Mimi nawe hatuachani

Basi songea kuja karibu
Karibu na mwili wangu unipe joto
Mtoto uko moto

Ukinitazama ni kama unalia
Na mwendo wako ni kama malkia
Aki ya Mungu kweli umebarikiwa
Ukinitazama nahisi kupagawa

Ukinitazama ni kama unalia
Na mwendo wako ni kama malkia
Aki ya Mungu kweli umebarikiwa
Ukinitazama nahisi kupagawa

Penzi lako limenimaliza kiu
Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu
Penzi lako limenimaliza kiu
Sina ubao wa kupenda tena

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani

Ukinitazama ni kama unalia
Na mwendo wako ni kama malkia
Aki ya Mungu kweli umebarikiwa
Ukinitazama nahisi kupagawa

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote
Mimi na wewe hatuachani

(Ilogos Music)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Hatuachani (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KIDUM

Burundi

Kidum, whose real names are Jean-Pierre Nimbona, is an award winnning recording and performing artis ...

YOU MAY ALSO LIKE