Home Search Countries Albums

Anaolewa

KASSAM

Anaolewa Lyrics


Anaolewa, anaolewa
Anaolewa, anaolewa

Ile imani nilojaza kwako leo 
Ndo yaniumiza
Nini nimekosa na upo leo
My yah yah yah

Kwa mapenzi nilonayo nikakupa cheo
Cha mahabuba
Bora ningefuga mbuzi 
Ningekunywa hata supu

Maya siwezi laumu pengine
Sifai kuwa mume
Maisha magumu ukaona nitakuhifadhi wapi
Ama nguvu za kiume sina, hufiki unapotaka 
Ati umenika na mtume, nitahubiria wapi

Yale mazoea yananipa taabu
Niliyekuzoea mi ndo napata taabu
Mawazo nilojijengea umenikata bawabu
Mema nilokufanyia nitalipwa dhawabu

Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 

Nini tatizo ama kila siku kukwambia ngoja ngoja
Ikakuumiza tumbo
Ama ni nini? Ama chakula cha utumbo
Miguu ya kuku vichwa Tandale kwetu umbo
Ama mbona ulisema ushagazoea
Tule tusile umejitolea 
Kuwa nami kwako ningekewa
Yapo wapi?

Yale mazoea yananipa taabu
Niliyekuzoea mi ndo napata taabu
Mawazo nilojijengea umenikata bawabu
Mema nilokufanyia nitalipwa dhawabu

Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Anaolewa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KASSAM

Tanzania

Kassam is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE