Umwema Lyrics

Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Wewe ni kila kitu maishani mwangu
Wewe ni vyote Baba maishani mwangu
Wewe ni kila kitu maishani mwangu
Wewe ni vyote Baba maishani mwangu
Tangu utoto wangu hujaniacha
Katikati ya taabu ukaniona
Shida na masimango vilipozidi
Ukanipenda nami ukaniona
Wengi waliniona sina dhamani
Nikulipe nini Mungu umeniona
Umekuwa Baba umekuwa mwalimu
Umekuwa chakula changu nikupe nini?
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umenibadilishia watu walivyonijua
Umenipa jina jingine mimi ni wako
Walihesabu siku zangu zitakuwa vile
Kumbe ulipanga mazuri nikupe nini
Kuna walionitoka njiani
Wapo walionikataa kabisa
Ushukuriwe Mungu wewe si mwanadamu
Ulipanga mazuri Baba nikupe nini?
Ni rafiki yangu Baba
Ni mwalimu wa kweli wewe
Ni mpenzi wa mimi karibu sana
Mimi Baba nikupe nini?
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema
Umwema Yesu umwema
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Umwema (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
SISTER JOAN
Tanzania
Sister Joan is a gospel artist from Tanzania. She is the daughter of Tanzanian singer Martha Mwaipaj ...
YOU MAY ALSO LIKE