Home Search Countries Albums

Unaniweza

JUX

Unaniweza Lyrics


(Abbah)

Pindi ukicheka we
Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororoo
Ila ukilia we
Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi dororo

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Sitamani mwingine
Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto moto
Labda upite ushetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea i don’t care
Kila kukicha chokochoko
Unavyonipa rahaa
Ndo na nenepa mie
Penzi lako na tinga na ringa na bembea
Kinachokufaaa
Usisite niambie
Kwako niko radhi, hata zege nibebe machinga ni nadishee

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Unaniweza weza
Yeiyeeee, I do it for love, For love
Unaniweza weza
For love , For love , I do it for love
Yeeeee
Unaniweza weza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Unaniweza (Single)


Copyright : (c) 2019 AfricanBOY


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JUX

Tanzania

JUX, born Juma Mussa is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE