Si Mimi Lyrics

Heyyyy Yee
Yeyi Yeee
Eh Nitazunguka dunia
Nitangaze sifa zako, Uzuri wako
Siwezi fanya siri
Wanibebeshe gunia
Na zote dhambi zako, Sumu yako
Imetawala mwili
Si Mimi
Ni akili yangu
Si Mimi
Ni moyo wangu
Si Mimi
Ni mawazo yangu
Si Mimi
Labda roho yangu
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Eeeehh
Oooh
Aaah
We ndo daktari
Mponya maradhi, Yani kama zali
Zali la mentali
Nakupenda kweli
Hilo liko wazi, Jua ukinitupa
Utaniachia simanzi
Si Mimi
Ni akili yangu
Si Mimi
Ni moyo wangu
Si Mimi
Ni mawazo yangu
Si Mimi
Labda roho yangu
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
Mimi bila we
Mimi bila we
Mimi bila we
Si bora waniuwe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Copyright : © 2025 AFRICAN BOY REC
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE