Sawa Lyrics
Huna kama cha mapinzani
Kila siku matatizo
Inaniadhiri ndani kwa ndani
Naikosa chanjo oh hoo
Acha visa nazo unanikula moyo
Usingizi sipati
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni
Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, ah na sawa
Huishiwi kisirani
Yaani kila muda umenuna
Sasa mimi nitaongea na nani?
I wish ungejua inavyouma
Yaani bora nilewe, usingizi sipati
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni
Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa
Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Mama sawa, ah na sawa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sawa (Single)
Copyright : (c) 2021 African Boy
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE