Home Search Countries Albums

Sawa

JUX

Read en Translation

Sawa Lyrics


Huna kama cha mapinzani
Kila siku matatizo
Inaniadhiri ndani kwa ndani
Naikosa chanjo oh hoo

Acha visa nazo unanikula moyo
Usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, ah na sawa

Huishiwi kisirani
Yaani kila muda umenuna
Sasa mimi nitaongea na nani?
I wish ungejua inavyouma

Yaani bora nilewe, usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Mama sawa, ah na sawa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sawa (Single)


Copyright : (c) 2021 African Boy


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JUX

Tanzania

JUX, born Juma Mussa is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE