Home Search Countries Albums

Nuru Lyrics


Akikaa na mashoga zake sifa kwangu mimi
Anadai ni mimi tu mwingine wa nini?
Alivyo ni beautiful nashindwa kuamini
Minywele misinga singa macho kama jini

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite
You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite

You make me say, we ni nuru
We ni nuru, we ni nuru
She make me say, we ni nuru

Better wakiniita Babylon
Ilimradi nakufuata mi sioni

When you walk(When you walk)
Ujue unanichosha kabisa
Na uki booty bounce 
Mie unaniroga kabisa

Me and you till I die
Till I die
Nitakufuata mpaka mwisho wa uhai
Mwisho wa uhai

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite
You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite

You make me say, we ni nuru
We ni nuru, we ni nuru
She make me say, we ni nuru

Come close, come closer
Tonight ooh come closer
Beiby come closer

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nuru (Single)


Copyright : (c) 2020 Manzese Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE