Accueil Recherche Pays Albums

Pokea Lyrics


 

Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea
Pokea shukurani zangu pokea

Machozi yananitoka
Nikiketi chini nifikirie
Umbali nilikotoka 
Hata sijui ni vipi nisimulie(aaah)

Mwema, umekuwa mwema kwangu
Tena umekuwa nguzo yangu wee
Umenifunza subira
Ukanizingira kando na kando

Ah tena wanisikia
Nikianguka waniinua eeeh(aaah)

Sasa mahitaji naweka kando
Sijasahau mema
Na ningependa ujue
Vile moyo unafurahishwa na we

Oooh, maneno yananiishia aah
Umenishangaza kwa matendo yako
Vile wanikumbatia aah
Sina lingine

Lilobakia ni 
Pokea shukurani zangu pokea
Sina budi nikwambie
Pokea shukurani zangu pokea

Kwa uaminifu wako
Pokea shukurani zangu pokea
Kwa matendo yako makuu
Pokea shukurani zangu pokea

Ni wewe ulinifunza 
Ati shida ni mtumwa wangu
Tena ukanifanya
Mwana ndani ya ufalme wako

Neno lako ni taa
Hata kwa giza nimulikiwe
Tena wewe ni jiwe
Nikianguka nishikiliwe

Matendo yako yameninyamazisha
Siwezi laumu
Mkono wako wa kiume
Umenishindia magumu

Eeeh, na kila mara wanikumbuka
Kwa mipango yako miema
Eeeh yale mabaya waniondolea 
Unaniwazia mema

Oooh, maneno yananiishia aah
Umenishangaza kwa matendo yako
Vile wanikumbatia aah
Sina lingine

Lilobakia ni 
Pokea shukurani zangu pokea
Sina budi nikwambie
Pokea shukurani zangu pokea

Kwa uaminifu wako
Pokea shukurani zangu pokea
Kwa matendo yako makuu
Pokea shukurani zangu pokea

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Pokea (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JANET OTIENO

Kenya

Janet Otieno is a Kenyan Gospel Music Singer and Songwriter. She was born in Kisumu, Kenya, the seco ...

YOU MAY ALSO LIKE