Home Search Countries Albums

Baba Madeni

JAMES MOTO

Baba Madeni Lyrics


Mtaani wanamuita baba madeni
Kila anapopita macho usoni
Sio kwamba ye anapenda kuwa hivyo
Ila ni kukosa pesa ndo chanzo cha matatizo

Majirani wanamdai kama wote 
Mtaani haonekani Insta kama Dangote
Kila duka anadaiwa kama teni
Anaogopa kupita naprint tuchochoroni

Benki anadaiwa laki tano 
Aliweka bondi haki ya kiwanja kwa mkutano
Sasa hivi anaishi kama popo
Leo yuko Sinza kesho gongo la moto

Mwenye nyumna hamtaki kwake kabisa
Na juzi kampa notice kisha ati wanasepa
Madeni yakafanya akwa star
Anashindia tu ndani nnje ni balaa

Nje ni balaa anashindia tu ndani
Nje ni balaa

Kila kona akipita wanamwita(Baba madeni)
Hadi mademu wanamuita(Baba madeni)
Baba mwenye nyuma anamuita(Baba madeni)
Majirani wanamuita(Baba madeni)

Baba madeni, baba madeni

Kwake mademu kibao wanamdai pesa mingi
Masista duu wa mjini wanaojina mashangingi
Kila kona guest zinamdai 
Kupita anaona noma kwa sababu hana bei

Mademu wengi wakimuona wanaenjoy 
Wanashoboka na yeye kwa sababu handsome boy
Wanakuja kwa rahisi wakidhani ye ni tighter
Anawapa maneno kisha anawakopa K

Kila kona akipita wanamwita(Baba madeni)
Hadi mademu wanamuita(Baba madeni)
Baba mwenye nyuma anamuita(Baba madeni)
Majirani wanamuita(Baba madeni)

Baba madeni, baba madeni

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Baba Madeni (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JAMES MOTO

Tanzania

James Moto is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE