Home Search Countries Albums

Nipokee

J SISTERS

Nipokee Lyrics


Nimesikia habari njema
Kwamba wewe ndie unayeponya
Kwa macho nimeona
Watu wengi wanafunguliwa

Nasema, matendo ya kwako ni makuu sana
Haulinganishwi, haufananishwi
Yesu ninakujua, wewe ni mwema kwangu
Moyo mweupe upo mbele zako Baba

Leo sasa nipokee baba
Nakuja mbele zako nipokee Yesu
Nikae uweponi

Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako
Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako

Leo sasa nipokee baba
Nakuja mbele zako nipokee Yesu
Roho yangu ipokee wewe
Sina cha kukulipa wee, wee
Sina cha kukulipa wee, wee

You are called a star
Lifted high
You're mine king of kings
Nimekombolewa barikiwa
Kwa mkono wako Yesu wee

I enjoy your presence God
Surrounded by your glory
Tasting your goodness
Just as I am, as I am

Cleanse my heart
Move my life
Saturate me with your love

Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako
Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako

We kimbilio langu
We msaada wangu wee
Tegemeo langu wee
We ushindi wangu wee
Uzima wangu wee
Tumaini langu wee

Wee furaha yangu wee
Wee amani yangu
We faraja yangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Nipokee (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

J SISTERS

Tanzania

J SISTERS is a gospel band from Tanzania made up of four sisters, namely Jessica, Jacqueline, J ...

YOU MAY ALSO LIKE