Home Search Countries Albums
Read en Translation

Kifo Cha Mende Lyrics


Sema uuuh uuuh wiiiii yaa yaa

One time

We Waka Waka Waka

Cheza doba zi tu nice, Ju zetu zime nice

Mwana

Sema uuuh uuuuh wiiiii yaa yaa

Kwa Majina ni Iyanii (nayo) Tunakujua

Cheza doba zi tu nice Ju zetu zime nice

La la la

ako ka peng nika area

Na kakitaka me huichapa (chapa)

Nakula kiapo ndai hapa, Ajeeeeee

Sit don Pon it nkirusha mamistari

Viungo we nengua, mwili hatari

Whine n coach nishikishe mali

Twende maeneo, chuma ilale ndani

Iyanii bad boy kijana wa ingo

Napenda njugu na Mukombero

King wa ma style napenda mastingo

Kifo cha Mende ama Wagido

Uuuh uuuh wiiii ya ya

Kufa dereva makanga

Leo ni Kifo cha Mende

Sema uuh uuuh wiii ya ya

Leo tuna vunja kitanda

Kudonjo kudunda na yeye

Nayo Nayo Nayo (Anguka)

Nayo Nayo Nayo (Dunda)

Nayo Nayo Nayo (Mimi)

Nayo Nayo Nayo

Wayaya

Maji imepatana na wire ya stima

Hata haya sina, naipiga ki John Sina

When I'm done you can't see me

Vuta kaya harufu mbaya

Ni ya majenge

Mandukulu mbaya

Unaishi wapi yahaya (aaii)

Unatoka wapi ulaya

Nyash yake soft kama mattress

Naipapasa inanitoa stress

Kama mzinga nitakabless

Na majirani wata witiness

Iyanii bad boy kijana wa ingo

Napenda njugu na Mukombero

King wa ma style napenda mastingo

Kifo cha Mende ama Wagido

Uuuh uuuh wiii ya ya

Kufa dereva makanga

Leo ni Kifo cha Mende

Sema Uuuuh uuuuh wiii yaa yaa

Leo tuna vunja kitanda

Kudonjo kudunda na yeye

Nayo Nayo Nayo (Eeeeh )

Nayo Nayo Nayo (Dunda)

Nayo Nayo Nayo (Mimi)

Nayo Nayo Nayo

Aaaahhh

Wachaa bana

Pull Up

Manake

Rudia tena

Uuuh uuuh wiii ya ya

Nayo Nayo Nayo (Anguka)

Nayo Nayo Nayo

Kufa dereva makanga

Nayo …. Nayo Nayo (Mimi)

Leo ni Kifo cha Mende

Nayo …Nayo Nayo

Sema Uuuh uuuuh wiii yaa yaa

Nayo …. Nayo Nayo

Nayo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

IYANII

Kenya

Iyanii real name Ian Oure is a Singer, Songwriter, Recording and Performing musician from Nairobi , ...

YOU MAY ALSO LIKE