Home Search Countries Albums

Valentines Anthem (Tukutane Kwa Bar )

IYANII

Valentines Anthem (Tukutane Kwa Bar ) Lyrics


Kwa majina ni Iyanii na niko na choir
Inataka sauti ya juu, tukutane kwa bar
Na ndugu zangu je sauti ya katikati
Tukutane bar

February 14, ni siku mbaya
Kama hauna mchumba, ni siku mbaya
Kama hauna 
14, ni siku mbaya
Kama hauna mchumba, ni siku mbaya
Kama hauna

Kwa wale hawana wapenzi, tukutane kwa bar
Wale fare zitakulwa, tukutane kwa bar
Wale simu watazimiwa, tukutane kwa bar
Ka uko na madem wawili, utashikwa baba

Hii ni ya wale wote, hawana wapenzi
Siku ni ya kupendana lakini tuko lonely
Lonely lonely, lonely lone lonely
Lonely lonely, lonely lone lonely
Lonely lonely, lonely lone lonely
Lonely lonely, lonely lone lonely

February February ni mwezi mbaya
Kwa wale hawana wachumba ni mbaya

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Valentines Anthem (Tukutane Kwa Bar ) (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IYANII

Kenya

Iyanii real name Ian Oure is a Singer, Songwriter, Recording and Performing musician from Nairobi , ...

YOU MAY ALSO LIKE